Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
how have iranian bloggers reacted to rz?
ni vipi mabloga wa ki-irani walivyoichukulia rz?
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
several iranian bloggers reacted to this trip.
wanablogu kadhaa wa irani walitoa maoni kuhusu ziara hiyo.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
the government was caught by surprise and so far has not reacted.
serikali imekamatwa pabaya na mpaka sasa haijaweza kujibu chochote.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
apparently, adolph hitler has reacted to kony 2012 video campaign:
kwa uwazi, adolph hitler aliitikia kampeni hiyo ya video ya kony 2012:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
twitter user dominiccampbell, from london, reacted strongly to the news as well:
mtumiaji wa huduma ya twita domoniccampbell, aliyeko mjini london, alitoa maoni makali kuhusiana na taarifa hiyo:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
.anti reacted through a comment , using a phrase often attributed to vaclav havel:
.anti alichangia kwa kutoa maoni , akitumia usema uliotumiwa mara nyingi na raisi wa kwanza wa jamhuri ya czech vaclav havel:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
after the inject of akmal by lethal injection, the british government and some right organizations reacted fiercely.
baada ya akmal kudungwa sindano ya sumu, serikali ya uingereza na baadhi ya mashirika ya kupigania haki yalijibu vikali.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
daniel mclaughling reacted to his post arguing that abolishing national monopolies on electrical utilities is the only solution capable of producing results:
daniel mclaughling alijibu makala hiyo akihoji kwamba kumaliza ukiritimba katika huduma ya umeme ndilo haswa suluhisho linaloweza kuleta matokeo yanayoeleweka:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
they quickly reacted to the results, sharing their sadness and disappointment, but also looking forward with self-criticism.
waliotoa maoni yao pindi tu matokeo yalipotangwa, wakiambizana namna wanavyojisikia huzuni na fadhaa, lakini vilevile wakitazama mbele kwa jicho la kujikosoa.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
after the gambia announced the decision to dump its membership of the international body headed by queen elizabeth ii, netizens around the globe have reacted with mix feelings.
baada ya gambia kutangaza uamuzi wa kufutilia mbali uanachama wake wa chombo hicho cha kimataifa kinachoongozwa na queen elizabeth ii, watumiaji wa mtandao duniani kote wameitikia uamuzi huo kwa hisia tofauti.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
iranian netizens reacted to this "crime" that reminds us once more that bloggers can end up sacrificing their lives for their virtual activity.
watumiaji wa mtandao wa iran wameonesha hisia zao kufuatia kosa hili la “jinai” linalotukumbusha kwa mara nyingine tena kuwa wanablogu wanaweza kuishia kutoa maisha yao sadaka kwa kazi zao zilizo na tija.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
soon after, a group of muslim scholars reacted angrily to the claims by supposed members of al-shabab that their actions were committed in the name of islam.
baadae, kikundi cha wanazuoni wa kiislamu walijibu kwa hasira madai hayo ya wanamgambo wa al-shabaab kwamba matendo yao yalifanywa kwa kutumia jina la uislam.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
"the muslim women now reacted and said, 'hey, wait a minute, our own people were killed as well,'" she recalls.
"wanawake wa ki-islam waliitikia na kusema, 'jamani, subiri kidogo, mbona watu wetu wenyewe wanauawa pia,'" anakumbuka.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
the egyptian real-estate tycoon’s supporters on facebook, reacted to the verdict on “free hesham talaat moustafa’ group as well.
wanaomuunga mkono mfanyabiashara huyu tajiri wa majengo nchini misri kwenye huduma ya facebook, waliijibu hukumu ile kwa kuanzisha kundi la “muachieni heshaam talaat moustafa.”
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
commanders, particularly those from other armed groups integrated into the spla (particularly from the ssdf), have reacted to a perceived lack of integration and authority, power and military command.
makamanda, hususan wale wa makundi mengine yenye silaha yaliyojiunga na spla (haswa wale kutoka ssdf), wameitikia ukosefu dhahiri wa ushirikiano na mamlaka, uwezo na ukamanda wa jeshi.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
introduction in 1799, children’s author and educator hannah more reacted against the revolutions that had recently taken place in america and france in terms that tell us a great deal about the child’s place in british society at that time. denouncing thomas paine’s radical insistence that all men are created equal, more argued that recognizing the “rights of man” was an absurd idea. next, she scoffed, reformers would begin to discuss the rights of women, and then (even more ridiculou
utangulizi mnamo 1799, mwandishi na mwalimu wa watoto hannah more alijibu dhidi ya mapinduzi ambayo yalikuwa yametokea hivi karibuni huko amerika na ufaransa kwa maneno ambayo yanatuambia mengi juu ya nafasi ya mtoto katika jamii ya briteni wakati huo. kukashifu msisitizo mkali wa thomas paine kwamba wanaume wote wameumbwa sawa, more alisema kuwa kutambua "haki za mwanadamu" lilikuwa wazo lisilo na maana. halafu, alidhihaki, wanamageuzi wataanza kujadili haki za wanawake, halafu (hata ujinga zaidi
Last Update: 2021-03-13
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting