From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
rumour
uvumi
Last Update: 2013-05-15
Usage Frequency: 2
Quality:
Reference:
rumour is that interactive agency autentika is behind this.
kuna uvumi kuwa kampuni ya autentika iko nyuma ya kisa hiki.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
it is a rumour because nobody from winners chapel has provided any response...
ni tetesi kwa sababu hakuna mtu yeyote kutoka kanisa hilo la winner alitoa majibu yoyote...
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
so there is a rumour on the web that bishop oyedepo is in the process of starting an airline company called dominion airlines.
kwa hiyo kuna tetesi mtandoni kwamba askofu oyedepo yuko katika mchakato wa kuanzisha kampuni ya ndege iitwayo shirika la ndege la dominion.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
we have seen rumor mongering reports that the actual nikah (marriage registry) took place on the 9th of april.
tumeshuhudia ripoti za uvumi kwamba nikah yenyewe (uandikishaji ndoa) ulifanyika siku ya tarehe 9 aprili.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
it seemed to be a normal day for pakistan but it turned into a roller coaster of adrenaline pumping and rumor mongering session for its citizens as news started to flow.
ilionekana kama siku nyingine nchini pakistani lakini mara iligeuka kuwa inayojijaza munkari na mara minong’ono ilianza kusambaa miongoni mwa raia wakati habari zilipoanza kusambaa.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
they are no longer the war-mongering dog howling in the wilderness anymore; even their longest feuding enemies agree with them.
hakuna tena mchuuzi wa vita anayepiga mayowe jangwani; hata maadui wao wa muda mrefu wanaafikiana nao.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
if the hypocrites, and those in whose hearts is a disease, and the rumour mongers in medinah do not desist, we shall then surely impel you against them, so then they will not remain your neighbours in medinah except for a few days.
kama wanaafiki na wale wenye maradhi nyoyoni mwao, na waenezao fitna katika madina hawatoacha, basi kwa yakini tutakusalitisha juu yao, kisha hawatakaa humo karibu yako ila muda mchache tu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
while the attack and the operation was underway some praised the twitter account @airportpakistan: @airportpakistan is textbook case of how authorities should use social media in crisis situation to give out information & tackle rumours. — rezaul hasan laskar (@rezhasan) june 8, 2014
@airportpakistanni mfano wa namna mamlaka zinapaswa kutumia mitandao ya kijamii wakati wa majanga ili kutoa habari na kurekebisha tetesi na uvumi.
Last Update: 2024-03-20
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting