From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
hoc autem nemo scivit discumbentium ad quid dixerit e
lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
dicit mater eius ministris quodcumque dixerit vobis facit
hapo mama yake akawaambia watumishi, "lolote atakalowaambieni, fanyeni."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
tunc si quis vobis dixerit ecce hic christus aut illic nolite creder
"basi, mtu akiwaambieni siku hizo: kristo yuko hapa au yuko pale, msimsadiki.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et tunc si quis vobis dixerit ecce hic est christus ecce illic ne credideriti
"basi mtu akiwaambieni, tazama, kristo yupo hapa! au yupo pale! msimsadiki.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
si dixerit pes quoniam non sum manus non sum de corpore non ideo non est de corpor
kama mguu ungejisemea: "kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili", je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? la hasha!
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et si dixerit auris quia non sum oculus non sum de corpore non ideo non est de corpor
kama sikio lingejisemea: "kwa vile mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili", je, kwa hoja hiyo lingekoma kuwa sehemu ya mwili? la!
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et si quis vobis aliquid dixerit dicite quia dominus his opus habet et confestim dimittet eo
kama mtu akiwauliza sababu, mwambieni, bwana anawahitaji, naye atawaachieni mara."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et si quis vobis dixerit quid facitis dicite quia domino necessarius est et continuo illum dimittet hu
kama mtu akiwauliza, mbona mnafanya hivyo? mwambieni, bwana anamhitaji na atamrudisha hapa mara."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et quaerebant eum tenere et timuerunt turbam cognoverunt enim quoniam ad eos parabolam hanc dixerit et relicto eo abierun
makuhani wakuu, walimu wa sheria na wazee walifahamu ya kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu. kwa hiyo walijaribu kumtia nguvuni, lakini waliogopa umati wa watu. basi, wakamwacha wakaenda zao.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et quaerebant principes sacerdotum et scribae mittere in illum manus illa hora et timuerunt populum cognoverunt enim quod ad ipsos dixerit similitudinem ista
walimu wa sheria na makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na hivyo walitaka kumkamata palepale, ila tu waliogopa watu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
amen dico vobis quicumque dixerit huic monti tollere et mittere in mare et non haesitaverit in corde suo sed crediderit quia quodcumque dixerit fiat fiet e
nawaambieni kweli, mtu akiuambia mlima huu: ng'oka ukajitose baharini bila kuona shaka moyoni mwake, ila akaamini kwamba mambo yote anayosema yanafanyika, atafanyiwa jambo hilo.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
ego autem dico vobis quia omnis qui irascitur fratri suo reus erit iudicio qui autem dixerit fratri suo racha reus erit concilio qui autem dixerit fatue reus erit gehennae igni
lakini mimi nawaambieni, yeyote anayemkasirikia ndugu yake, lazima ahukumiwe. anayemdharau ndugu yake atapelekwa mahakamani. anayemwita ndugu yake: pumbavu atastahili kuingia katika moto wa jehanamu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: