Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
waxaana liibaanay ruuxii daahir noqda.
hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
ee waxaa liibaanay ruxii naftiisa daarhiriya.
hakika amefanikiwa aliye itakasa,
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
waxaa dhab ahaan u liibaanay mu'miniinta.
hakika wamefanikiwa waumini,
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
kuwaasi hanuun eebe yey ku suganyihiin, kuwaasina waa uun kuwa liibaanay.
hao wapo juu ya uwongofu utokao kwa mola wao mlezi, na hao ndio walio fanikiwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
ciddayse cuslaato miisaankiisu (wanaagga) kuwaasi waa kuwa uun liibaanay.
ama wale ambao mizani zao zitakuwa nzito, hao ndio wenye kufanikiwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
waan ka abaal marinay maanta samirkoodii dartiis, iyaga unbaana liibaanay.
hakika mimi leo nimewalipa kwa vile walivyo subiri. bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
ciddii adeecda eebe iyo rasuulkiisa oo cabsata kana dhawrsata kuwaasi waa uun kuwa liibaanay.
na wenye kumt'ii mwenyezi mungu na mtume wake, na wakamwogopa mwenyezi mungu na wakamcha, basi hao ndio wenye kufuzu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
ruuxiise toobadkeena oo rumeeya oo fala camal fiican wuxuu u dhawyahay inuu noqdo kuwa liibaanay.
ama mwenye kutubu na akaamini na akatenda mema, huyo atakuwa miongoni mwa wenye kufanikiwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
ee kulmiya dhagar (tiinna) imaadana idinkoo saf ah waxaa liibaanay maanta ciddii sarreysee.
kwa hivyo kusanyeni hila zenu zote, kisha mfike kwa kujipanga safu, na kwa yakini atafuzu kweli kweli leo atakaye shinda.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
haydiin wanaajiyo camalkiinna hana idiin dhaafo dambigiinee, ruuxii adeeca eebe iyo rasuulkiisa wuxuu u liibaanay dhab ahaan liibaan weyn.
apate kukutengenezeeni vitendo vyenu na akusameheni madhambi yenu. na anaye mt'ii mwenyezi mungu na mtume wake, bila ya shaka amefanikiwa mafanikio makubwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
rasuulkase iyo kuwa rumeeyey ee la jira way ku jahaadaan xoolahooda iyo naftooda waxaana kuwaas u sugnaaday khayraad, kuwaasuna waa uun kuwa liibaanay.
lakini mtume na wale walio amini pamoja naye waliwania jihadi kwa mali zao na nafsi zao. hao ndio watakao pata kheri nyingi, na hao ndio wenye kufanikiwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
ha laydinka helo umad u yeedha khayrka oo fari wanaagga oo ka reebta waxa la naco (xumaanta) kuwaasina waa uun kuwa liibaanay.
na uwe kutokana na nyinyi umma unao lingania kheri na unao amrisha mema na unakataza maovu. na hao ndio walio fanikiwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
maalintuu qiyaamuhu yimaaddo ma hadasho nafi idinka eebe mooyee, waxaana ka mida dadka kuwo xun (khasaaray) iyo kuwo liibaanay.
siku hiyo itakapo fika, hatosema hata mtu mmoja ila kwa idhini yake mwenyezi mungu. kati yao watakuwamo waliomo mashakani na wenye furaha.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
ee qaraabada sii xaqeeda iyo miskiinka iyo musaafurka, saasaa u khayroon kuwa dooni wajiga eebe, (u dhawaanshahiisa) kuwaasina waa kuwa liibaanay.
basi mpe jamaa haki yake, na masikini, na msafiri. hayo ni kheri kwa watakao radhi ya mwenyezi mungu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
eebe ka dhawrsada intaad kartaan, maqla oo adeecana (weyneeya), waxna baxsada, ruuxii laga dhawro bakhaylnimada naftiisa waa liibaanay.
basi mcheni mwenyezi mungu kama mwezavyo, na sikieni, na t'iini, na toeni, itakuwa kheri kwa nafsi zenu. na mwenye kuepushwa na uchoyo wa nafsi yake, basi hao ndio walio fanikiwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
ee ah kuwa raaca rasuulka nabiga ah ec umiga ah ee ah kay ka heleyeen isagoo ku qoran agtooda tawreed iyo injiil farana wanaagga kana reeba xumaanta una baneeya wanaagga (xalaasha) kana xarrima xumaanta (xaaraanta) kana dejiya culayskii iyo xadhkihii korkooda ahaa, kuwa rumeeyey nabigaas oo qaddariyey oo u gargaaray oo raacay nuurka lagu soo dejiyey kuwaasu waa uun kuwa liibaanay.
ambao kwamba wanamfuata huyo mtume, nabii, asiye soma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa kwao katika taurati na injili, anaye waamrisha mema na anawakanya maovu, na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo iliyo kuwa juu yao. basi wale walio muamini yeye, na wakamhishimu, na wakamsaidia, na wakaifuata nuru iliyo teremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufanikiwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: