From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
kila wakirudishwa kwenye fitna hudidimizwa humo.
but whenever they are tempted into civil discord, they plunge into it.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
msipo fanya hivi itakuwako fitna katika nchi na fisadi kubwa.
if you (the believers) do not keep the same among yourselves in the land, there will come into being widespread idolatry and great evil.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
na jikingeni na fitna ambayo haitowasibu walio dhulumu peke yao kati yenu.
and be cautious against a sedition that will not smite the harmdoers alone.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
na piganeni nao mpaka isiwepo fitna na mateso, na dini yote iwe kwa ajili ya mwenyezi mungu.
and fight against them until there be no temptations and their obedience be wholly unto allah.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
lau wangeli toka nanyi wasingeli kuzidishieni ila mchafuko, na wange tanga tanga kati yenu kukutilieni fitna.
had they gone forth with you, they would not have increased you except in confusion, and they would have been active among you, seeking [to cause] you fitnah.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
mtawakuta wengine wanataka wapate salama kwenu na salama kwa watu wao. kila wakirudishwa kwenye fitna hudidimizwa humo.
surely ye will find others desiring, that they may be secure from you and may be secure from their people; and yet so oft as they are brought back into the temptation, they revert thereto.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
na jikingeni na fitna ambayo haitowasibu walio dhulumu peke yao kati yenu. na jueni kuwa mwenyezi mungu ni mkali wa kuadhibu.
and beware of a punishment, which shall not visit the wrongdoers among you exclusively, and know that allah is severe in retribution.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
lau wangeli toka nanyi wasingeli kuzidishieni ila mchafuko, na wange tanga tanga kati yenu kukutilieni fitna. na miongoni mwenu wapo wanao wasikiliza.
had they gene forth with you, they would have added unto you naught save unsoundness, and they would surely have hurried about in your midst seeking sedition unto you; and amongst you there are listeners to them; and allah is knower of the wrong-doers.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
na jueni ya kwamba mali zenu na wana wenu ni fitna (mtihani), na kwamba kwa mwenyezi mungu upo ujira mkubwa.
and know that your possessions and your children are a test, and that god possesses an immense reward.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
hayo ni ili alifanye lile analo litia shet'ani liwe ni fitna kwa wale wenye maradhi ndani ya nyoyo zao, na wale ambao nyoyo zao ni ngumu.
(he does this) in order that he may make the evil caused by satan a trial for those in whose hearts there is sickness (of hypocrisy), whose hearts are hard (and vitiated).
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
kila wakirudishwa kwenye fitna hudidimizwa humo. ikiwa hawajitengi nanyi, na wakakuleteeni salama, na wakazuia mikono yao, basi wakamateni na wauweni popote mnapo wakuta.
you will now find others who desire that they should be safe from you and also safe from their own people; whenever their people turn them towards war, they fall headlong into it; so if they do not avoid (confronting) you nor submit an offer of peace nor restrain their hands, seize them and kill them wherever you find them; and they are the ones against whom we have given you clear authority.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: