Results for joko ya hao e bobebe translation from Swahili to English

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

English

Info

Swahili

joko ya hao e bobebe

English

Last Update: 2020-08-12
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

kati ya hao, watu 15 walifariki.

English

15 of them had lost their lives.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

na juu ya hao ndio tumekupeni hoja zilizo wazi.

English

against such we have given you clear warrant.

Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

siyo katika jahannamu makaazi ya hao makafiri?

English

is not hell a dwelling for the disbelievers?

Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

je! siyo katika jahannamu makaazi ya hao makafiri?

English

is not hell an abode for those who deny the truth?

Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

na tumekujaalieni humo vitu vya maisha yenu, na ya hao ambao nyinyi sio wenye kuwaruzuku.

English

and created livelihoods for you in it, and created those for whom you do not provide the sustenance.

Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

kulitokea ubishi kati ya hao mitume kuhusu nani miongoni mwao anayefikiriwa kuwa mkuu zaidi kuliko wengine.

English

and there was also a strife among them, which of them should be accounted the greatest.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

kisha nikasikia idadi ya hao waliopigwa mhuri: watu mia moja arobaini na nne elfu wa makabila yote ya watu wa israeli.

English

and i heard the number of them which were sealed: and there were sealed an hundred and forty and four thousand of all the tribes of the children of israel.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

kisha yesu akauliza, "kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonyesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?"

English

which now of these three, thinkest thou, was neighbour unto him that fell among the thieves?

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous
Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

zaidi ya nusu ya wanawake walikuwa waathirika wa ngono za nguvu, na kati ya hao, nusu waliripotiwa kutoa ngono kama namna ya kupata upendeleo wa namna fulani.

English

more than half of the women were victims of sexual violence, and of those women, half of them reported providing sex for some form of favors.

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

akasema: hakika yeye anasema kwamba ng'ombe huyo si mpevu, wala si kinda, bali ni wa katikati baina ya hao.

English

"neither old nor young, says god, but of age in between," answered moses.

Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous
Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

ikiwa hawajitengi nanyi, na wakakuleteeni salama, na wakazuia mikono yao, basi wakamateni na wauweni popote mnapo wakuta. na juu ya hao ndio tumekupeni hoja zilizo wazi.

English

if they withdraw not from you, and offer you peace, and restrain their hands, take them, and slay them wherever you come on them; against them we have given you a clear authority.

Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

akasema: hakika yeye anasema kwamba ng'ombe huyo si mpevu, wala si kinda, bali ni wa katikati baina ya hao. basi fanyeni mnavyo amrishwa.

English

(moses) answered: lo! he saith, verily she is a cow neither with calf nor immature; (she is) between the two conditions; so do that which ye are commanded.

Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya: wa kwanza ni simoni aitwae petro, na andrea ndugu yake; yakobo mwana wa zebedayo, na yohane ndugu yake;

English

now the names of the twelve apostles are these; the first, simon, who is called peter, and andrew his brother; james the son of zebedee, and john his brother;

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

na (waonye) siku tutakapo wainua mashahidi katika kila umma wakiwashuhudia kwa yanayo tokana na wao, na tutakuleta wewe uwe shahidi juu ya hao. na tumekuteremshia kitabu hiki kinacho bainisha kila kitu, na ni uwongofu, na rehema, na bishara kwa waislamu.

English

(o muhammad), warn them of the coming of a day when we shall bring forth a witness against them from each community and we shall bring you forth as a witness against them all; (and it is for that purpose that) we sent down the book to you which makes everything clear, and serves as a guidance and mercy and glad tidings to those who have submitted to allah.

Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Get a better translation with
7,747,442,461 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK