From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
karibuni mtajua ni nani itakaye mfikia adhabu ya kumhizi, na nani aliye mwongo. na ngojeni, mimi pia ninangoja pamoja nanyi.
人びとよ,あなたがたは自分のやり方で行うがよい。わたしもまた(わたしの務めを)行うであろう。やがてあなたがたは知ろう。誰に恥ずべき懲罰が下るのか,また誰が偽ったのかを。あなたがたは待て,わたしもまたあなたがたと共に待つものである。」
na kwa hakika mimi bila ya shaka namjua kuwa ni mwongo tu. na hivi ndivyo firauni alivyo pambiwa ubaya wa vitendo vyake, na akazuiliwa njia.
そうすればムーサーの神を見るでしょう。どうせかれ(ムーサー)は嘘をついているに違いないのですが。」このようにフィルアウンには,自分の悪い行いが立派に見えて,(正しい道)から締め出されてしまった。フィルアウンの策謀は,破滅を(西?)すだけであった。
ninyi hamjapata kumjua, lakini mimi namjua. na, nikisema simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi. mimi namjua na ninashika neno lake.
あなたがたはその神を知っていないが、わたしは知っている。もしわたしが神を知らないと言うならば、あなたがたと同じような偽り者であろう。しかし、わたしはそのかたを知り、その御言を守っている。
anayemwamini mwana wa mungu anao ushahidi huo ndani yake; lakini asiyemwamini mungu, anamfanya yeye kuwa mwongo, maana hakuamini ushahidi alioutoa mungu juu ya mwanae.
神の子を信じる者は、自分のうちにこのあかしを持っている。神を信じない者は、神を偽り者とする。神が御子についてあかしせられたそのあかしを、信じていないからである。
mtu akisema kwamba anampenda mungu, hali anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. maana mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, hawezi kumpenda mungu ambaye hamwoni.
「神を愛している」と言いながら兄弟を憎む者は、偽り者である。現に見ている兄弟を愛さない者は、目に見えない神を愛することはできない。
na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia mwenyezi mungu - hakika mwenyezi mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. hakika mwenyezi mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri.
信心の誠を尽して仕えるのは,アッラーに対し当然ではないか。だがかれを差し置いて(他に)保護者を求める者は,「わたしたちがかれら(神々)に仕えるのは只わたしたちがアッラーの御側に近づくためである。」(という)。本当にアッラーはかれらの異なる点について,必ずその間を裁決なされる。アッラーは,虚偽で恩を忘れる者を御導きになられない。