Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
blogger antarik anwesan recalls an alarming experience at goregaon train station in mumbai, india.
mwanablogu antarik anwesan anaelezea hali halisi ya kile kinachoendelea katika kituo cha magarimoshi cha goregaon kilichopo mumbai, india.
known as the mastermind behind the 2008 mumbai attacks, the jud founder also carries a $10million us bounty on his head.
akijulikana kama muongozaji mkuu wa mashambulizi ya mumbai ya mwaka 2008, mwanzilishi wa jud pia alitoa msaada wa dola milioni 10 za kimarekani .
many slum-dwellers in mumbai, where the movie was shot, have protested because they were called slumdog in that movie.
wakazi wengi wanaoishi kwenye vitongoji visivyo na mpangilio mjini mumbai ambko filamu hii ilichukuliwa, wameipinga kwa sababu wamepachikwa jina la mbwa koko wa mitaani au 'slumdog' katika filamu hiyo:
telugu actor chiranjeevi launched a new political party in andhra pradesh, while bollywood actor sanjay dutt failed to get nominated because of his criminal record in the 1993 mumbai blast.
muigizaji filamu wa kitelugu chirajeevi alizindua chama kipya cha siasa jimboni andhra pradesh, wakati mcheza filamu wa bollywood sanjay dutt alishindwa kuteuliwa kwa sababu ya rekodi yake ya makosa ya jinai wakati wa milipuko ya mabomu ya mwaka 1993 mjini mumbai.
@usembislamabad (us embassy islamabad ): saaed is wanted for suspected involvement in the mumbai attacks, which killed 166.
@usembislamabad (us embassy islamabad ): saaed anatafutwa kuhusishwa na mashambulizi ya mumbai yaliyopelekea watu 166 kuuawa.
fazal abbas (@fazlabas), a mumbai-based twitter user, brought some historical perspective to the ongoing discourse:
fazal abbas (@fazlabas), ambaye ni mtumiaji wa twita aishiye mumbai, alitoa historia kuhusiana na tukio hili:
fast forward to 2009 and the involvement of entertainers from bollywood (or the hindi film industry) based in mumbai and the tamil and telugu film industry have registered a significant spike in the election campaign.
ilipofikia mwaka 2009 ushiriki wa watoa burudani wa bollywood (au filamu za kihindi) wenye makao mjini mumbai pamoja na wale wa kitamil na kitelugu waliongezeka zaidi kwenye kampeni za uchaguzi.
industry experts suggest that the mumbai terror attacks in november last year may be the reason for this change...amitabh bachchan, aamir khan, john abraham, kamal haasan, rakeysh omprakash mehra, anurag kashyap, shriya sharan, shruti haasan and sushmita sen are among those who have joined the chorus."
wataalamu wa mambo wanadhani kwamba mashambulkio ya kigaidi mijini mumbai ya mwezi novemba mwaka jana yanaweza yakawa ndio sababu ya mabadiliko haya… amitabh bachchan, aamir khan, john abraham, kamal haasan, rakeysh omprakash mehra, anurag kashyap, shriya sharan, shruti haasan pamoja na sushmita senni ni kati ya wale waliojiunga na pambio."