Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
marafiki zake wote pamoja na wale wanawake walioandamana naye kutoka galilaya, walisimama kwa mbali kutazama tukio hilo.
stabant autem omnes noti eius a longe et mulieres quae secutae erant eum a galilaea haec vidente
yesu alifanya ishara hii ya kwanza huko kana, galilaya, akaonyesha utukufu wake; nao wanafunzi wake wakamwamini.
hoc fecit initium signorum iesus in cana galilaeae et manifestavit gloriam suam et crediderunt in eum discipuli eiu
walistaajabu na kushangaa, wakisema, "je, hawa wote tunaowasikia wakisema hivi, si wenyeji wa galilaya?
stupebant autem omnes et mirabantur dicentes nonne omnes ecce isti qui loquuntur galilaei sun
yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka galilaya, akaenda katika mkoa wa yudea, ng'ambo ya mto yordani.
et factum est cum consummasset iesus sermones istos migravit a galilaea et venit in fines iudaeae trans iordane
hao walimwendea filipo, mwenyeji wa bethsaida katika galilaya, wakasema, "mheshimiwa, tunataka kumwona yesu."
hii ergo accesserunt ad philippum qui erat a bethsaida galilaeae et rogabant eum dicentes domine volumus iesum vider
yesu alifika tena huko mjini kana, mkoani galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko kafarnaumu.
venit ergo iterum in cana galilaeae ubi fecit aquam vinum et erat quidam regulus cuius filius infirmabatur capharnau
yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani galilaya, akifundisha katika masunagogi na kuhubiri habari njema juu ya ufalme wa mungu. aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu.
et circumibat iesus totam galilaeam docens in synagogis eorum et praedicans evangelium regni et sanans omnem languorem et omnem infirmitatem in popul
basi, alipofika galilaya, wagalilaya wengi walimkaribisha. maana nao pia walikuwa kwenye sikukuu ya pasaka, wakayaona mambo yote yesu aliyotenda huko yerusalemu wakati wa sikukuu hiyo.
cum ergo venisset in galilaeam exceperunt eum galilaei cum omnia vidissent quae fecerat hierosolymis in die festo et ipsi enim venerant in diem festu