プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika ufalme wa mungu."
verily i say unto you, i will drink no more of the fruit of the vine, until that day that i drink it new in the kingdom of god.
nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa baba yangu."
but i say unto you, i will not drink henceforth of this fruit of the vine, until that day when i drink it new with you in my father's kingdom.
yesu alifika tena huko mjini kana, mkoani galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko kafarnaumu.
so jesus came again into cana of galilee, where he made the water wine. and there was a certain nobleman, whose son was sick at capernaum.
yeye mwenyewe atakunywa divai ya ghadhabu ya mungu, ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake bila kuchanganywa na maji. mtu huyo atateseka ndani ya moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele ya mwanakondoo.
the same shall drink of the wine of the wrath of god, which is poured out without mixture into the cup of his indignation; and he shall be tormented with fire and brimstone in the presence of the holy angels, and in the presence of the lamb:
wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu. kama akifanya hivyo, divai itavipasua hivyo viriba, nayo divai pamoja na hivyo viriba vitaharibika. divai mpya hutiwa katika viriba vipya!"
and no man putteth new wine into old bottles: else the new wine doth burst the bottles, and the wine is spilled, and the bottles will be marred: but new wine must be put into new bottles.
malaika wa pili alimfuata huyo wa kwanza akisema, "ameanguka! naam, babuloni mkuu ameanguka! babuloni ambaye aliwapa mataifa yote wainywe divai yake--divai kali ya uzinzi wake!"
and there followed another angel, saying, babylon is fallen, is fallen, that great city, because she made all nations drink of the wine of the wrath of her fornication.