Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
iache sadaka yako mbele ya madhabahu, nenda kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi ukatoe sadaka yako.
så lad din gave blive der foran alteret, og gå hen, forlig dig først med din broder, og kom da og offer din gave!
baadhi ya wanafunzi walikuwa wanazungumza juu ya hekalu, jinsi lilivyopambwa kwa mawe ya thamani, pamoja na sadaka zilizotolewa kwa mungu. yesu akasema,
og da nogle sagde om helligdommen, at den var prydet med smukke sten og tempelgaver. sagde han:
hivi ndivyo upendo ulivyo: si kwamba sisi tulikuwa tumempenda mungu kwanza, bali kwamba yeye alitupenda hata akamtuma mwanae awe sadaka ya kutuondolea dhambi zetu.
deri består kærligheden: ikke at vi have elsket gud, men at han har elsket os og udsendt sin søn til en forsoning for vore synder.
kwa maana, wengine wote wametoa sadaka zao kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi."
thi alle disse lagde af deres overflod hen til gaverne; men hun lagde af sin fattigdom al sin ejendom, som hun havde."
kwa imani, abrahamu alimtoa mwanae isaka sadaka wakati mungu alipomjaribu. huyo abrahamu ndiye aliyekuwa amepokea ahadi ya mungu, lakini, hata hivyo, alikubali kumtoa dhabihu mwanae wa pekee,
ved tro har abraham ofret isak, da han blev prøvet, ja, den. enbårne ofrede han, som havde modtaget forjættelserne,
malaika mwingine akafika, akiwa anachukua chetezo cha dhahabu, akasimama mbele ya madhabahu ya kufukizia ubani. naye akapewa ubani mwingi autoe sadaka pamoja na sala za watu wote wa mungu, juu ya madhabahu ya dhahabu iliyo mbele ya kiti cha enzi.
og en anden engel kom og stillede sig ved alteret med et guldrøgelsekar, og der blev givet ham megen røgelse, for at han skulde føje den til alle de helliges bønner på guldalteret foran tronen.
lakini mungu aliondoka kati yao, akawaacha waabudu nyota za anga, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha manabii: enyi watu wa israeli! si mimi mliyenitolea dhabihu na sadaka kwa muda wa miaka arobaini kule jangwani!
men gud vendte sig fra dem og gav dem hen til at tjene himmelens hær, som der er skrevet i profeternes bog: "have i vel, israels hus! bragt mig slagtofre og andre ofre i fyrretyve År i Ørkenen?