Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
wanasafiri
they are travelling
Laatste Update: 2013-10-12
Gebruiksfrequentie: 2
Kwaliteit:
Referentie:
kinawapa waandishi wasio wasomali wanaoweza kuwa wanasafiri kwenda somalia ushauri na mawasiliano ya awali.
it gives non-somali journalists who may be traveling to somalia with first hand advice and contacts.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
wale watu waliokuwa wanasafiri pamoja na saulo walisimama pale, wakiwa hawana la kusema; walisikia ile sauti lakini hawakumwona mtu.
and the men which journeyed with him stood speechless, hearing a voice, but seeing no man.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
anajua ya kuwa baadhi yenu watakuwa wagonjwa, na wengine wanasafiri katika ardhi wakitafuta fadhila ya mwenyezi mungu, na wengine wanapigana katika njia ya mwenyezi mungu.
he has known that there will be among you those who are ill and others traveling throughout the land seeking [something] of the bounty of allah and others fighting for the cause of allah.
Laatste Update: 2014-07-03
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
leo, waghana wengi wanasafiri kwa usafiri wa umma, taxi za kuchangia au “mabasi vya kufour ” na hivyo hawatoi sana hewa ya ukaa.
today, many ghanaians travel in packed trotros, shared taxis or "kufuor busses" and hence do not emit too much co2.
Laatste Update: 2016-02-24
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
walipokuwa wanasafiri kwa mashua, yesu alishikwa na usingizi, akalala. dhoruba kali ikaanza kuvuma, maji yakaanza kuingia ndani ya mashua, wakawa katika hatari.
but as they sailed he fell asleep: and there came down a storm of wind on the lake; and they were filled with water, and were in jeopardy.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
basi someni kilicho chepesi katika qur'ani. anajua ya kuwa baadhi yenu watakuwa wagonjwa, na wengine wanasafiri katika ardhi wakitafuta fadhila ya mwenyezi mungu, na wengine wanapigana katika njia ya mwenyezi mungu.
he knows that some of you are sick, and others journeying in the land, seeking the bounty of god, and others fighting in the way of god. so recite of it so much as is feasible.
Laatste Update: 2014-07-03
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie:
anajua ya kuwa baadhi yenu watakuwa wagonjwa, na wengine wanasafiri katika ardhi wakitafuta fadhila ya mwenyezi mungu, na wengine wanapigana katika njia ya mwenyezi mungu. kwa hivyo someni kilicho chepesi humo, na mshike sala, na toeni zaka, na mkopesheni mwenyezi mungu mkopo mwema.
he knoweth that there may be (some) among you in ill-health; others travelling through the land, seeking of allah's bounty; yet others fighting in allah's cause, read ye, therefore, as much of the qur'an as may be easy (for you); and establish regular prayer and give regular charity; and loan to allah a beautiful loan.
Laatste Update: 2014-07-03
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Referentie: