Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
baada ya kusikia hayo, walibatizwa kwa jina la bwana yesu.
ויהי כשמעם זאת ויבאו להטבל בשם ישוע האדון׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
hakuna kitu kinachonifurahisha zaidi kuliko kusikia kwamba watoto wangu wanaishi katika ukweli.
אין לי שמחה גדולה מלשמע את אשר בני יתהלכו באמת׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
naye baba aliyenituma hunishuhudia. ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake,
והאב אשר שלחני הוא מעיד עלי ואתם את קולו לא שמעתם מעולם ותמונתו לא ראיתם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
baada ya kusikia hayo mose alikimbia, akaenda kukaa katika nchi ya midiani na huko akapata watoto wawili.
ויברח משה על הדבר הזה ויהי גר בארץ מדין ויולד שם שני בנים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu aliwahubiria ujumbe wake kwa mifano mingine mingi ya namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia.
ובמשלים רבים כאלה דבר אליהם את הדבר כפי אשר יכלו לשמע׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: "saulo, saulo! kwa nini unanitesa?"
ויפל ארצה וישמע קול מדבר אליו שאול שאול למה תרדפני׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
hakika, manabii na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona ninyi wasiyaone, na kusikia yale mnayoyasikia wasiyasikie."
כי אני אמר לכם נביאים ומלכים רבים חפצו לראות את אשר אתם ראים ולא ראו ולשמע את אשר אתם שמעים ולא שמעו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
watu walishangaa sana, wakasema, "amefanya yote vyema: amewajalia viziwi kusikia, na bubu kusema!"
וישתוממו עד מאד ויאמרו את הכל עשה יפה גם החרשים הוא עשה לשמעים גם האלמים למדברים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
kwao yametimia yale aliyosema nabii isaya: kusikia mtasikia, lakini hamtaelewa; kutazama mtatazama, lakini hamtaona.
ותקים בהם נבואת ישעיהו האמרת שמעו שמוע ואל תבינו וראו ראו ואל תדעו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mimi yohane, niliyaona na kusikia mambo haya. nilipokwisha sikia na kuona nikajitupa chini mbele ya miguu ya huyo malaika aliyenionyesha mambo hayo, nikataka kumwabudu.
ואני יוחנן הוא הראה אלה ושמעם ויהי כשמעי וכראותי ואפל לפני רגלי המלאך אשר הראני את אלה להשתחות לו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu aliinuliwa juu mpaka upande wa kulia wa mungu, akapokea kutoka kwa baba ile zawadi aliyoahidi yaani roho mtakatifu; na mnachoona sasa na kusikia ni mmiminiko wa huyo roho.
ועתה אחרי הנשאו בימין האלהים לקח מאת האב את הבטחת רוח הקדש וישפך את אשר אתם ראים ושמעים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kama ningetaka kujivuna singekuwa mpumbavu hata kidogo, maana ningekuwa nasema ukweli mtupu. lakini sitajivuna; sipendi mtu anifikirie zaidi ya vile anavyoona na kusikia kutoka kwangu.
כי לו חפצתי להתהלל לא אהיה סכל כי אמת אדבר אבל אתאפק פן יחשבני איש יותר ממה שיראה בי או שישמע ממני׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
sasa, mnaweza kusikia na kujionea wenyewe mambo paulo anayofanya, si tu hapa efeso, ila pia kote katika asia. yeye amewashawishi na kuwageuza watu wakakubali kwamba miungu ile iliyotengenezwa na watu si miungu hata kidogo.
ואתם ראים ושמעים אשר לא באפסוס לבדה כי גם כמעט באסיא כלה זה פולוס פתה והדיח המון עם רב לאמר לא אלהים אלה הנעשים בידים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kama yasemavyo maandiko matakatifu: "mungu ameifanya mioyo yao kuwa mizito, na mpaka leo hii hawawezi kuona kwa macho yao wala kusikia kwa masikio yao."
ככתוב נתן להם האלהים רוח תרדמה עינים לא לראות ואזנים לא לשמע עד היום הזה׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
wanaadamu wengine waliobaki ambao hawakuuawa na mabaa hayo, hawakugeuka na kuviacha vitu walivyokuwa wametengeneza kwa mikono yao wenyewe; bali wakaendelea kuabudu pepo, sanamu za dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti, vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia wala kutembea.
ושאר בני אדם אשר לא נהרגו במגפות האלה בכל זאת לא שבו ממעשי ידיהם מהשתחות עוד לשדים ולעצבי זהב וכסף ונחשת ואבן ועץ אשר לא יראו ולא ישמעו ולא יהלכו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit: