Att försöka lära sig översätta från mänskliga översättningsexempel.
Från professionella översättare, företag, webbsidor och fritt tillgängliga översättningsdatabaser.
baada ya kusikia hayo, walibatizwa kwa jina la bwana yesu.
ויהי כשמעם זאת ויבאו להטבל בשם ישוע האדון׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
hakuna kitu kinachonifurahisha zaidi kuliko kusikia kwamba watoto wangu wanaishi katika ukweli.
אין לי שמחה גדולה מלשמע את אשר בני יתהלכו באמת׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
naye baba aliyenituma hunishuhudia. ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake,
והאב אשר שלחני הוא מעיד עלי ואתם את קולו לא שמעתם מעולם ותמונתו לא ראיתם׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
baada ya kusikia hayo mose alikimbia, akaenda kukaa katika nchi ya midiani na huko akapata watoto wawili.
ויברח משה על הדבר הזה ויהי גר בארץ מדין ויולד שם שני בנים׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
yesu aliwahubiria ujumbe wake kwa mifano mingine mingi ya namna hiyo; aliongea nao kadiri walivyoweza kusikia.
ובמשלים רבים כאלה דבר אליהם את הדבר כפי אשר יכלו לשמע׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
akaanguka chini na kusikia sauti ikimwambia: "saulo, saulo! kwa nini unanitesa?"
ויפל ארצה וישמע קול מדבר אליו שאול שאול למה תרדפני׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
Varning: Innehåller osynlig HTML-formatering
hakika, manabii na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona ninyi wasiyaone, na kusikia yale mnayoyasikia wasiyasikie."
כי אני אמר לכם נביאים ומלכים רבים חפצו לראות את אשר אתם ראים ולא ראו ולשמע את אשר אתם שמעים ולא שמעו׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
Varning: Innehåller osynlig HTML-formatering
watu walishangaa sana, wakasema, "amefanya yote vyema: amewajalia viziwi kusikia, na bubu kusema!"
וישתוממו עד מאד ויאמרו את הכל עשה יפה גם החרשים הוא עשה לשמעים גם האלמים למדברים׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
Varning: Innehåller osynlig HTML-formatering
kwao yametimia yale aliyosema nabii isaya: kusikia mtasikia, lakini hamtaelewa; kutazama mtatazama, lakini hamtaona.
ותקים בהם נבואת ישעיהו האמרת שמעו שמוע ואל תבינו וראו ראו ואל תדעו׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
mimi yohane, niliyaona na kusikia mambo haya. nilipokwisha sikia na kuona nikajitupa chini mbele ya miguu ya huyo malaika aliyenionyesha mambo hayo, nikataka kumwabudu.
ואני יוחנן הוא הראה אלה ושמעם ויהי כשמעי וכראותי ואפל לפני רגלי המלאך אשר הראני את אלה להשתחות לו׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
yesu aliinuliwa juu mpaka upande wa kulia wa mungu, akapokea kutoka kwa baba ile zawadi aliyoahidi yaani roho mtakatifu; na mnachoona sasa na kusikia ni mmiminiko wa huyo roho.
ועתה אחרי הנשאו בימין האלהים לקח מאת האב את הבטחת רוח הקדש וישפך את אשר אתם ראים ושמעים׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
kama ningetaka kujivuna singekuwa mpumbavu hata kidogo, maana ningekuwa nasema ukweli mtupu. lakini sitajivuna; sipendi mtu anifikirie zaidi ya vile anavyoona na kusikia kutoka kwangu.
כי לו חפצתי להתהלל לא אהיה סכל כי אמת אדבר אבל אתאפק פן יחשבני איש יותר ממה שיראה בי או שישמע ממני׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
sasa, mnaweza kusikia na kujionea wenyewe mambo paulo anayofanya, si tu hapa efeso, ila pia kote katika asia. yeye amewashawishi na kuwageuza watu wakakubali kwamba miungu ile iliyotengenezwa na watu si miungu hata kidogo.
ואתם ראים ושמעים אשר לא באפסוס לבדה כי גם כמעט באסיא כלה זה פולוס פתה והדיח המון עם רב לאמר לא אלהים אלה הנעשים בידים׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
kama yasemavyo maandiko matakatifu: "mungu ameifanya mioyo yao kuwa mizito, na mpaka leo hii hawawezi kuona kwa macho yao wala kusikia kwa masikio yao."
ככתוב נתן להם האלהים רוח תרדמה עינים לא לראות ואזנים לא לשמע עד היום הזה׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet:
Varning: Innehåller osynlig HTML-formatering
wanaadamu wengine waliobaki ambao hawakuuawa na mabaa hayo, hawakugeuka na kuviacha vitu walivyokuwa wametengeneza kwa mikono yao wenyewe; bali wakaendelea kuabudu pepo, sanamu za dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti, vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia wala kutembea.
ושאר בני אדם אשר לא נהרגו במגפות האלה בכל זאת לא שבו ממעשי ידיהם מהשתחות עוד לשדים ולעצבי זהב וכסף ונחשת ואבן ועץ אשר לא יראו ולא ישמעו ולא יהלכו׃
Senast uppdaterad: 2012-05-05
Användningsfrekvens: 1
Kvalitet: