Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
wakapaza sauti wakisema, "yesu mwalimu, tuonee huruma!"
וישאו את קולם לאמר ישוע מורה חננו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
mwenye kufundishwa neno la mungu na amshirikishe mwalimu wake riziki zake.
המלמד בדבר יחלק מכל טובו למלמדהו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mtu mmoja akamwuliza, "je, mwalimu, watu watakaookoka ni wachache?"
וישאלהו איש לאמר אדנינו המעט הם הנושעים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: mwalimu.
ואת שאלות שלומם בשוקים ואת אשר יקראו להם בני האדם רבי רבי׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
mungu amenichagua mimi niwe mtume na mwalimu kwa ajili ya kuhubiri habari njema,
אשר הפקדתי להיות לה כרוז ושליח ומורה הגוים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
basi, yuda akamkaribia yesu, akamwambia, "shikamoo, mwalimu!" kisha akambusu.
ומיד נגש אל ישוע ויאמר שלום לך רבי וינשק לו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
mtumishi wa bwana asigombane. anapaswa kuwa mpole kwa watu wote, mwalimu mwema na mvumilivu,
ועבד האדון לא יתקוטט אלא יהי נוח לכל ומבין ללמד וסבלן׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
nao watoza ushuru wakaja pia ili wabatizwe, wakamwuliza, "mwalimu, tufanye nini?"
ויבאו גם מוכסים להטבל ויאמרו אליו רבי מה נעשה׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
yuda alipofika tu, alimwendea yesu moja kwa moja, akasema, "mwalimu!" kisha akambusu.
הוא בא והוא נגש אליו ויאמר רבי רבי וינשק לו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
mmoja wa walimu wa sheria akamwambia, "mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia."
ויען אחד מבעלי התורה ויאמר אליו רבי בדבריך אלה תחרף גם אתנו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
hapo nathanieli akamwambia, "mwalimu, wewe ni mwana wa mungu. wewe ni mfalme wa israeli!"
ויען נתנאל ויאמר אליו רבי אתה בן אלהים אתה הוא מלך ישראל׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
mtu mmoja alimjia yesu, akamwuliza, "mwalimu, nifanye kitu gani chema ili niupate uzima wa milele?"
והנה איש נגש אליו ויאמר רבי הטוב אי זה הטוב אשר אעשנו לקנות חיי עולמים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
baadaye mwalimu mmoja wa sheria alisimama akamwuliza akitaka kumtega, "mwalimu, nifanye nini ili nipate uzima wa milele?"
והנה אחד מבעלי התורה קם לנסותו ויאמר מורה מה אעשה ואירש חיי עולם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
kiongozi mmoja, myahudi, alimwuliza yesu, "mwalimu mwema, nifanye nini ili niweze kuupata uzima wa milele?"
וישאלהו קצין אחד לאמר רבי הטוב מה לי לעשות ואירש חיי עולמים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
yesu alipokuwa anatoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake alimwambia, "mwalimu, tazama jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo ya ajabu!"
ויהי בצאתו מן המקדש ויאמר אליו אחד מתלמידיו רבי ראה מה יפו האבנים והבנינים האלה׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. ikiwa wamemwita mkubwa wa jamaa beelzebuli, je hawatawaita watu wengine wa jamaa hiyo majina mabaya zaidi?
דיו לתלמיד להיות כרבו ולעבד להיות כאדניו אם לבעל הבית קראו בעל זבוב אף לאנשי ביתו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu alipokuwa bado anaongea, watu walifika kutoka nyumbani kwa yule ofisa wa sunagogi, wakamwambia, "binti yako amekwisha kufa. ya nini kuendelea kumsumbua mwalimu?"
עודנו מדבר והנה באים מבית ראש הכנסת לאמר בתך מתה למה תטריח עוד את המורה׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
naye akawaambia, "hivyo basi, kila mwalimu wa sheria aliye mwanafunzi wa ufalme wa mbinguni anafanana na mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale."
ויאמר אליהם על כן כל סופר המלמד למלכות השמים דומה לאיש בעל הבית המוציא מאוצרו חדשות וישנות׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
yu wapi basi, mwenye hekima? yu wapi basi, mwalimu wa sheria? naye bingwa wa mabishano wa nyakati hizi yuko wapi? mungu ameifanya hekima ya ulimwengu kuwa upumbavu.
איה חכם איה ספר איה דרש העולם הזה הלא סכל האלהים את חכמת העולם הזה׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yesu akasema, "ni nani aliyenigusa?" wote wakasema kwamba hapakuwa na mtu aliyemgusa. naye petro akasema, "mwalimu, umati wa watu umekuzunguka na kukusonga!"
ויאמר ישוע מי זה נגע בי וכלם כחשו ויאמר פטרוס והעמדים אצלו מורה המון העם דחקים ולחצים אתך ואתה תאמר מי נגע בי׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak