Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
pilato alipoarifiwa na huyo jemadari kwamba yesu alikuwa amekwisha kufa, akamruhusu yosefu auchukue mwili wake.
И, узнав от сотника, отдал тело Иосифу.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
yule jemadari aliposikia habari za yesu, aliwatuma wazee fulani wayahudi waende kumwomba aje amponye mtumishi wake.
Услышав об Иисусе, он послал к Нему Иудейских старейшин просить Его, чтобы пришел исцелить слугу его.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
huko kulikuwa na jemadari mmoja mroma ambaye alikuwa na mtumishi wake aliyempenda sana. huyu mtumishi alikuwa mgonjwa karibu kufa.
У одного сотника слуга, которым он дорожил, был болен при смерти.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kisha akamwamuru yule jemadari amweke paulo kizuizini, lakini awe na uhuru kiasi, na rafiki zake wasizuiwe kumpatia mahitaji yake.
А Павла приказал сотнику стеречь, но не стеснять его и не запрещать никому из его близких служить ему или приходить к нему.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kulikuwa na mtu mmoja huko kaisarea aitwaye kornelio, jemadari wa kikosi kimoja kiitwacho "kikosi cha italia."
В Кесарии был некоторый муж, именем Корнилий, сотникиз полка, называемого Италийским,
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
yule jemadari aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, "unataka kufanya nini? mtu huyu ni raia wa roma!"
Услышав это, сотник подошел и донес тысяченачальнику, говоря: смотри, что ты хочешь делать? этот человек- Римский гражданин.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
jemadari mmoja aliyekuwa amesimama mbele yake aliona jinsi yesu alivyolia kwa sauti na kukata roho, akasema, "kweli mtu huyu alikuwa mwana wa mungu!"
Сотник, стоявший напротив Его, увидев, что Он, так возгласив, испустил дух, сказал: истинно Человек Сей был Сын Божий.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, paulo alimwuliza jemadari mmoja aliyesimama hapo, "je, ni halali kwenu kumpiga viboko raia wa roma kabla hajahukumiwa?"
Но когда растянули его ремнями, Павел сказал стоявшему сотнику: разве вам позволено бичевать Римского гражданина, да и без суда?
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
basi, jemadari na wale waliokuwa wakimlinda yesu walipoona tetemeko la ardhi na yale mambo yaliyotukia, wakaogopa sana, wakasema, "hakika mtu huyu alikuwa mwana wa mungu."
Сотник же и те, которые с ним стерегли Иисуса, видя землетрясение и все бывшее, устрашились весьма и говорили: воистину Он был Сын Божий.
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
basi, yesu akaenda pamoja nao. alipokuwa karibu kufika nyumbani kwa yule jemadari mroma, yule jemadari aliwatuma marafiki zake wamwambie yesu: "bwana, usijisumbue zaidi, maana mimi sistahili uingie nyumbani mwangu.
Иисус пошел с ними. И когда Он недалеко уже был от дома, сотник прислал к Нему друзей сказать Ему: не трудись, Господи! ибо я недостоин, чтобы Ты вошел под кров мой;
Laatste Update: 2012-05-06
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak