Добавлены профессиональными переводчиками и компаниями и на основе веб-страниц и открытых баз переводов.
ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi.
(er), der den tod und das leben erschaffen hat, um euch zu prüfen (und festzustellen), wer von euch am besten handelt.
ikifika khofu utawaona wanakutazama na macho yao yanazunguka, kama yule ambaye aliye zimia kwa kukaribia mauti.
naht aber gefahr, dann siehst du sie nach dir ausschauen - mit rollenden augen wie einer, der aus todesfurcht in ohnmacht fällt.
kila nafsi itaonja mauti; na tunakujaribuni kwa mtihani wa shari na kheri. na kwetu sisi mtarejeshwa.
jede seele wird den tod kosten; und wir stellen euch mit bösem und mit gutem auf die probe; und zu uns werdet ihr zu rückgebracht.
je! mlikuwapo yalipo mfikia yaaqub mauti, akawaambia wanawe: mtamuabudu nani baada yangu?
oder wart ihr etwa zeugen, als der tod bei ya'qub zugegen wurde, als er zu seinen söhnen sagte: "wem werdet ihr nach mir dienen?"
hukuwaona wale walio toka majumbani kwao kwa maelfu kwa kuogopa mauti? mwenyezi mungu akawaambia: kufeni!
gewahrtest du etwa nicht diejenigen, die ihre wohngebiete zu tausenden aus angst vor dem tod verließen, dann sagte allah ihnen: "sterbt!", dann belebte er sie wieder?!
ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. na yeye ni mwenye nguvu na mwenye msamaha.
(er,) der den tod erschaffen hat und das leben, auf daß er euch prüfe, wer von euch die besseren taten verrichte; und er ist der erhabene, der allvergebende
na anaye toka nyumbani kwake kuhama kwa ajili ya mwenyezi mungu na mtume wake, kisha yakamfika mauti njiani basi umethibiti ujira wake kwa mwenyezi mungu.
und wer sein haus auswandernd zu allah und seinem gesandten verläßt, und den hierauf der tod erfaßt, so fällt es allah zu, ihm seinen lohn (zu geben).