来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
there are many records of outbreaks of disease, from plague to cholera, killing thousands in mecca, madinah, and jeddah over the years.
zipo kumbukumbu nyingi za milipuko ya magonjwa kama kipindupindu na maafa ya maelfu huko maka, madina na jedah kwa miaka mingi sasa.
and he it is who held back their hands from you and your hands from them in the valley of mecca after he had given you victory over them; and allah is seeing what you do.
na yeye ndiye aliyeizuia mikono yao kwenu, na mikono yenu kwao, katika bonde la makka baada ya kukupeni ushindi juu yao. na mwenyezi mungu ni mwenye kuyaona myatendayo.
and he it is who hath withheld men's hands from you, and hath withheld your hands from them, in the valley of mecca, after he had made you victors over them.
na yeye ndiye aliyeizuia mikono yao kwenu, na mikono yenu kwao, katika bonde la makka baada ya kukupeni ushindi juu yao.
egyptian blogger zeinobia, who blogs at egyptian chronicles, is also concerned about how the disease will spread during the hajj , where millions of pilgrims from around the world converge to mecca to perform the ritual.
mwanablogu wa kimisri zeinobia, anayeblogu kupitia blogu ya egyptian chronicles, kadhalika anaguswa na jinsi ugonjwa utakavyosambaa wakati wa haji , ambapo mamilioni ya mahujaji kutoka sehemu mbalimbali duniani hukusanyika maka ili kutimiza nguzo hiyo.
iran's health ministry announced the cancellation of friday prayers in areas affected by the outbreak and shrines were later closed, while saudi arabia banned the entry of foreign pilgrims as well as its residents to holy sites in mecca and medina.
wizara ya afya ya irani ilitangaza kufutwa kwa sala za ijumaa katika maeneo yaliyoathiriwa na mkurupuko na vihekalu zilifungwa baadaye, ilhali saudi arabia ilipiga marufuku kuingia kwa mapilgrimu wageni pamoja na raia kuelekea maeneo takatifu mecca na medina.