Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
beschnitten sein ist nichts, und unbeschnitten sein ist nichts, sondern gottes gebote halten.
maana kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni kuzishika amri za mungu.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ist jemand beschnitten berufen, der halte an der beschneidung. ist jemand unbeschnitten berufen, der lasse sich nicht beschneiden.
kama mtu aliitwa akiwa ametahiriwa, basi asijisingizie kwamba hakutahiriwa; na kama alipoitwa hakuwa ametahiriwa, basi na asitahiriwe.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
in welchem ihr auch beschnitten seid mit der beschneidung ohne hände, durch ablegung des sündlichen leibes im fleisch, nämlich mit der beschneidung christi,
katika kuungana na kristo ninyi mlitahiriwa, lakini si kwa tohara ifanywayo na watu, bali inayofanywa na kristo mwenyewe, na ambayo inahusikana na kukombolewa kutoka katika utu wa dhambi.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
wie ist er ihm denn zugerechnet? als er beschnitten oder als er unbeschnitten war? nicht, als er beschnitten, sondern als er unbeschnitten war.
je, abrahamu alikubaliwa kabla ya kutahiriwa ama baada ya kutahiriwa? kabla ya kutahiriwa, na si baada ya kutahiriwa.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
und da acht tage um waren, daß das kind beschnitten würde, da ward sein name genannt jesus, welcher genannt war von dem engel, ehe denn er in mutterleibe empfangen ward.
siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
und würde auch ein vater der beschneidung, derer, die nicht allein beschnitten sind, sondern auch wandeln in den fußtapfen des glaubens, welcher war in unserm vater abraham, als er noch unbeschnitten war.
vilevile yeye ni baba wa wale waliotahiriwa; lakini si kwa kuwa wametahiriwa, bali kwa sababu wanafuata njia ileile ya imani baba yetu abrahamu aliyofuata kabla ya kutahiriwa.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
das zeichen der beschneidung empfing er zum siegel der gerechtigkeit des glaubens, welchen er hatte, als er noch nicht beschnitten war, auf daß er würde ein vater aller, die da glauben und nicht beschnitten sind, daß ihnen solches auch gerechnet werde zur gerechtigkeit;
abrahamu alitahiriwa baadaye, na kutahiriwa huko kulikuwa alama iliyothibitisha kwamba mungu alimkubali kuwa mwadilifu kwa sababu ya imani yake aliyokuwa nayo kabla ya kutahiriwa. kwa hiyo, abrahamu amekuwa baba wa wale wote ambao, ingawa hawakutahiriwa, wamemwamini mungu, wakafanywa waadilifu.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality: