From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
walimu wa sheria na mafarisayo walitaka kupata kisingizio cha kumshtaki yesu na hivyo wakawa wanangojea waone kama angemponya mtu siku ya sabato.
eta gogoatzen çuten hura scribéc eta phariseuéc eya sabbathoan senda leçaqueenez, accusatione eriden leçatençat haren contra.
baada ya siku ya sabato, maria magdalene, salome na maria mama yake yakobo walinunua manukato ili wakaupake mwili wa yesu.
eta sabbathoa iragan cenean, maria magdalenac eta maria iacquesen amác eta salomec eros citzaten vnguentu aromaticoac, ethorriric hura embauma leçatençat.
au je, hamjasoma katika sheria kwamba kila siku ya sabato makuhani huivunja sheria hekaluni, lakini hawafikiriwi kuwa na hatia?
edo eztuçue iracurri leguean, nola sabbath egunetan sacrificadoréc templean sabbath eguna hausten dutén, eta hoguen-gabe diraden?
siku nyingine ya sabato, yesu aliingia katika sunagogi, akafundisha. mle ndani mlikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.
eta guertha cedin berce sabbath batez-ere hura sar baitzedin synagogara, eta iracasten baitzuen: eta cen han guiçon-bat eta haren escu escuyna cen eyhar.
kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya mwezi mpya au sabato.
nehorc bada etzaitzatela condemna ianean, edo edanean, edo besta egunaren, edo ilhargui berriaren, edo sabbathoén respectuz:
sasa, hapa yupo binti wa abrahamu ambaye shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya sabato?"
eta abrahamen alaba haur, cein estecatu baitzuen satanec, huná, hemeçortzi vrthe duela, etzén estecadura hunetaric lachatu behar sabbath egunean?
lakini yesu akawaambia, "tuseme mmoja wenu ana kondoo wake ambaye ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo siku ya sabato?
eta harc erran ciecén, nor içanen da çuetaric guiçona, ardibat duenic: eta, baldin hura sabbathoan lecera eror badadi, harturen eta altchaturen eztuena?
basi, yesu alikwenda nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. akasimama ili asome maandiko matakatifu kwa sauti.
ethor cedin bada nazarethera non haci içan baitzén: eta sar cedin bere costumaren araura sabbath egunean synagogán: eta iaiqui cedin iracurtzera.
kisha yesu akawaambia, "nawaulizeni, je, ni halali siku ya sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuyaangamiza?"
erran ciecén bada iesusec, interrogaturen çaituztet gauça batez, sabbathoetan vngui eguitea da sori ala gaizqui eguitea? persona baten emparatzea ala galtzea?
kisha, akawauliza, "je, ni halali siku ya sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?" lakini wao hawakusema neno.
guero dioste, sabbathoan vngui eguitea da sori, ala gaizqui eguitea? persona baten emparatzea, ala hiltzea: baina hec ichilic ceuden.