Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
abrahamu alisubiri kwa uvumilivu na hivyo alipokea kile alichoahidiwa na mungu.
and so, after he had patiently endured, he obtained the promise.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
mama yangu zohra begum alipokea mahari watoto wake wawili wa kiume.
my mom zohra begum has taken dowry for her two elder sons.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
@luyanda_peter alipokea fulana ya kusherehekea siku ya afrika mwaka 2010.
@luyanda_peter received a t-shirt to celebrate africa day in 2010.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
baadae, sherry rehman alipokea vitisho vya kuuawa na hivyo kulazimika kukaa ndani ya nyumba yake bila ya kutoka.
sherry rehman later received death threats and was confined to her house.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
arkibong bayan alipokea maoni kutoka kwa msomaji aliyesimulia kuhusu jinsi mti wa mwembe ulivyookoa maisha wakati wa janga mitatu iliyopita.
arkibong bayan received a comment from a reader who shared a similar story about how a mango tree saved lives during a natural disaster three years ago
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
shukrani kwa kazi yake, félix alipokea tuzo la uandishi wa habari la gabriel garcía marquez mwaka huu katika uandishi wa habari kitengo cha picha.
thanks to his work, félix received the gabriel garcía marquez prize for journalism this year in the journalistic image category.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
hata hivyo, mnamo mwaka 1991, mtoto mkubwa wa bibi suu kyi, alexander, alipokea tuzo ya amani ya nobel huko oslo kwa niaba ya mama yake.
however, in 1991, ms suu kyi’s older son, alexander, accepted the nobel peace prize in oslo on her behalf.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mwanzilishi mshiriki wa globalvoices, rebecca mackinnon,alipokea kiasi cha dola za marekani 300,000 ili kumwezesha yeye pamoja na wenzake wa taasisi ya new america katika kuandaa safu ya haki za digitali.
global voices' co-founder, rebecca mackinnon, received $300,000 to develop ranking digital rights along with colleagues at the new america foundation.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
ubadilishwaji halali wa vifurushi tanzania mwaka 2022 bila kuwataarifu wateja kulikuwa na mtumiaji wa mtandao wa zantel ambaye alinunua kifurushi cha shiling 2000 ambacho alikuwa anategemea kupata 1gb ,dakika 20 mitandao yote na dakika 20 zantel kwenda zantel pamoja na sms 20 ambapo alinunua kulingana na maelekezo yaliyokuwa yametolewa kwenye menu lakini baada ya kukamilisha ununuzi alipokea ujumbe wa sms kutoka katika mtandao huo wenye maelezo tofauti na ofa iliyokuwa imetolewa kwenye menu h
valid replacement of tanzania packages in 2022 without notifying customers there was a zantel network user who purchased the shiling 2000 package which was based on getting 1gb , 20 minutes all networks and 20 minutes zantel to zantel along with 20 smss where he purchased according to the instructions provided on the menu but upon completion of the purchase received an sms message from that network with different details and the offer provided on the menu hio ili mtaarifu kuwa amepokea mb 800,dakika 55, na sms 20 kwa wiki mitando yote baada ya hapo mteja aliamua kumpigia mtoa huduma na kumuomba achague vitu viwili kurudisha pesa au kuongeza mb 200,mtoa huduma alikubali kuwa kunachangamoto hio lakin hakukubali kuongeza mb wala kusitisha muamala
Last Update: 2022-11-18
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
jaji meyer joffer alibaini kwamba selebi, rais wa zamani wa polisi wa kimataifa (interpol), alipokea mamia ya maelfu ya randi kwa ajili ya malipo mbalimbali kati ya mwaka 2000 na 2005 kutoka kwa wafanyabiashara watatu, ikiwa ni pamoja na mtuhumiwa na mauaji glen agliotti, malipo ambayo “hayakuleta maana yoyote kama biashara halali kwa mujibu wa sheria” na yalikusudiwa kuwa kama rushwa.
judge meyer joffe found selebi, a former president of interpol, received hundreds of thousands of rand in payments between 2000 and 2005 from three businessmen, including murder suspect glen agliotti, that “made no legitimate business sense” and were intended as bribes.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: