Via de voorbeelden van menselijke vertaling trachten te leren vertalen.
Van professionele vertalers, bedrijven, webpagina's en gratis beschikbare vertaalbronnen.
basi, wakawapeleka, wakawasimamisha mbele ya baraza. kuhani mkuu akawaambia,
ויביאו אתם ויעמידום לפני הסנהדרין וישאלם הכהן הגדול לאמר׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
nilimpeleka mbele ya baraza lao kuu nikitaka kujua kisa cha mashtaka yao.
ובאשר חפצתי לדעת על מה שמנו אתו הורדתיו אל הסנהדרין שלהם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
wale wazee wa baraza waliposikia hayo, walighadhibika sana, wakamsagia meno kwa hasira.
ויהי כשמעם את אלה התרגזו בלבבם ויחרקו עליו שניהם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
wajumbe wote wa lile baraza waliposikia hayo, wakawaka hasira, hata wakaamua kuwaua.
ויהי כשמעם ויתרגזו ויתיעצו להרוג אתם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.
ויצוו אתם לצאת חוצה מן הסנהדרין ויתיעצו יחדו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
au, waache hawa walio hapa waseme kosa waliloliona kwangu wakati niliposimama mbele ya baraza lao kuu,
או אלה ידברו נא המה מה מצאו בי עול בעמדי לפני הסנהדרין׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
wote waliokuwa katika kile kikao cha baraza walimkodolea macho stefano, wakauona uso wake umekuwa kama wa malaika.
ויסתכלו בו כל הישבים בסנהדרין ויראו את פניו כפני מלאך אלהים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
alikuwa akitazamia kuja kwa ufalme wa mungu. ingawa alikuwa mmoja wa baraza kuu la wayahudi, hakuwa amekubaliana nao katika kitendo chao.
אשר לא הסכים לעצתם ולפעלם ומחכה גם הוא למלכות האלהים׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
hapo, watu wote katika kile kikao cha baraza, wakapiga kelele na kuziba masikio yao kwa mikono yao. kisha wakamrukia wote kwa pamoja,
ויצעקו בקול גדול ויאטמו את אזניהם ויתנפלו עליו כלם יחד׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kwa namna hiyo, waliwachochea watu, wazee na walimu wa sheria. basi, wakamjia stefano, wakamkamata na kumleta mbele ya baraza kuu.
ויעוררו את העם ואת הזקנים והסופרים ויקומו עליו ויחטפהו ויביאהו לפני הסנהדרין׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
lakini mfarisayo mmoja aitwaye gamalieli ambaye alikuwa mwalimu wa sheria na aliyeheshimika sana mbele ya watu wote, alisimama mbele ya lile baraza, akataka wale mitume watolewe nje kwa muda mfupi.
ויקם בתוך הסנהדרין אחד מן הפרושים גמליאל שמו והוא מורה התורה מכבד בעיני כל העם ויצו להוציא את השליחים החוצה לזמן מעט׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
kuhani mkuu na baraza lote la wazee wanaweza kushuhudia jambo hilo. kutoka kwao nilipokea barua walioandikiwa wale ndugu wayahudi waliokuwa huko damasko. nilikwenda damasko ili niwatie nguvuni watu hao na kuwaleta wamefungwa mpaka yerusalemu ili waadhibiwe.
כאשר גם יעיד עלי הכהן הגדול וכל בית הזקנים אשר מהם לקחתי מכתבים ואלך אל האחים לדמשק לאסר אף את הנמצאים שמה להביאם ירושלים למען יוסרו׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
sasa basi, ninyi pamoja na baraza tumeni ujumbe kwa mkuu wa jeshi ili amlete paulo kwenu mkijisingizia kwamba mnataka kupata habari kamili zaidi juu yake. tuko tayari kumuua hata kabla hajafika karibu."
ועתה הודיעו אתם והסנהדרין את שר האלף ויורידהו מחר אליכם כאלו תחפצו לדרש היטב את ענינו ואנחנו נכונים להמיתו בטרם יקרב אליכם׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak
hapo akaja yosefu mwenyeji wa armathaya, mjumbe wa baraza kuu, aliyeheshimika sana. yeye pia alikuwa anatazamia kuja kwa ufalme wa mungu. basi, alimwendea pilato bila uoga, akaomba apewe mwili wa yesu.
ויבא יוסף הרמתי יועץ נכבד אשר היה מחכה גם הוא למלכות האלהים ויתחזק ויבא אל פילטוס וישאל את גופת ישוע׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
wakati huo paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni masadukayo na nyingine mafarisayo. basi, alipaaza sauti yake mbele ya baraza: "ndugu zangu, mimi ni mfarisayo, mwana wa mfarisayo. mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka."
ופולוס ידע כי מקצתם צדוקים ומקצתם פרושים ויצעק בתוך הסנהדרין אנשים אחים פרוש בן פרוש אנכי ועל תקות המתים ותחיתם אני נדין׃
Laatste Update: 2012-05-05
Gebruiksfrequentie: 1
Kwaliteit:
Waarschuwing: Bevat onzichtbare HTML-opmaak