来自专业的译者、企业、网页和免费的翻译库。
au ni kama giza katika bahari kuu, iliyo funikwa na mawimbi juu ya mawimbi, na juu yake yapo mawingu.
oppure [le loro opere sono paragonabili] a tenebre di un mare profondo, le onde lo coprono, [onde] al di sopra delle quali si ergono [altre] onde, sulle quali vi sono le nuvole.
na mwenyezi mungu ndiye anaye zituma pepo ziyatimue mawingu, nasi tukayafikisha kwenye nchi iliyo kufa, tukaifufua ardhi baada ya kufa kwake.
allah è colui che manda i venti: essi sollevano nuvole che spingiamo verso una contrada morta; quindi ridiamo la vita alla terra dopo che era morta.
hata hizo pepo zinapo beba mawingu mazito tunayachunga mpaka kwenye nchi iliyo kufa. kisha tunateremsha kwayo maji, ndio kama hivyo tukatolesha kila aina ya matunda.
quando poi recano una nuvola pesante, la dirigiamo verso una terra morta e ne facciamo discendere l'acqua, con la quale suscitiamo ogni tipo di frutti.
mara zikatibuka humo chemchem kumi na mbili, na kila watu wakajua mahali pao pa kunywea. na tukawafunika kivuli kwa mawingu, na tukawateremshia manna na salwa.
sgorgarono da essa dodici sorgenti e ogni tribù conobbe da dove avrebbe dovuto bere; prestammo loro l'ombra di una nuvola, e facemmo scendere la manna e le quaglie: “mangiate le buone cose di cui vi abbiamo provvisto”.
yesu akayaambia tena makundi ya watu, "mnapoona mawingu yakitokea upande wa magharibi, mara mwasema: mvua itanyesha, na kweli hunyesha.
diceva ancora alle folle: «quando vedete una nuvola salire da ponente, subito dite: viene la pioggia, e così accade
tazama! anakuja katika mawingu! kila mtu atamwona, hata wale waliomchoma. makabila yote duniani yataomboleza juu yake. naam! amina.
ecco, viene sulle nubi e ognuno lo vedrà; anche quelli che lo trafissero e tutte le nazioni della terra si batteranno per lui il petto
hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na kukhitalifiana usiku na mchana, na marikebu ambazo hupita baharini kwa viwafaavyo watu, na maji anayo yateremsha mwenyezi mungu kutoka mbinguni, na kwa hayo akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake, na akaeneza humo kila aina ya wanyama; na katika mabadiliko ya pepo, na mawingu yanayo amrishwa kupita baina ya mbingu na ardhi, bila shaka zimo ishara kwa watu wanao zingatia.
nella creazione dei cieli e della terra, nell'alternarsi del giorno e della notte, nella nave che solca i mari, carica di ciò che è utile agli uomini, nell'acqua che allah fa scendere dal cielo, rivivificando la terra morta e disseminandovi animali di ogni tipo, nel mutare dei venti e nelle nuvole costrette a restare tra il cielo e la terra, in tutto ciò vi sono segni per la gente dotata di intelletto.