Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya.
עתה תתגאו בפחזותכם וכל גאוה אשר כזאת רעה היא׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, mti mwema huzaa matunda mema, na mti mbaya huzaa matunda mabaya.
כן כל עץ טוב עשה פרי טוב והמשחת עשה פרי רע׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mema.
עץ טוב לא יוכל עשות פרי רע ועץ משחת לא יעשה פרי טוב׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
wale walio wa kristo wameisulubisha hali yao ya kidunia pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.
ואשר הם למשיח צלבו את בשרם עם כל תשוקתיו ותאותיו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu waliokomaa, ambao wanaweza kubainisha mema na mabaya.
אך לשלמים המאכל הבריא אשר על פי ההרגל יש להם חושים מנסים להבדיל בין טוב לרע׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
wakamtukana mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu yao na madonda yao. lakini hawakuyaacha matendo yao mabaya.
ויגדפו את אלהי השמים ממכאבם ושחינם ולא שבו ממעשיהם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa maana kutoka ndani, katika moyo wa mtu, hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji,
-12[ כי מתוך לב האדם יצאות המחשבות הרעות נאף וזנה ורצוח וגנוב ואהבת בצע ורשעה ורמיה וזוללות וצרות עין וגדוף וזדון וסכלות׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini anayesema mabaya dhidi ya roho mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele."
אך המגדף את רוח הקדש אין לו סליחה לעולם כי יאשם בעונו לנצח׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mwenye upendo hakosi adabu, hatafuti faida yake binafsi, wala hana wepesi wa hasira; haweki kumbukumbu ya mabaya,
לא תעשה דבר תפלה ולא תבקש את אשר לה ולא תתמרמר ולא תחשב הרעה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
maana sote ni lazima tusimame mbele ya kiti cha hukumu cha kristo, ili kila mmoja apokee anayostahili kwa matendo aliyoyafanya wakati alipokuwa anaishi duniani, mema au mabaya.
כי כלנו עתידים להראות לפני כסא דין המשיח למען יקבל איש ואיש כפי פעלו בחיי גופו אם טוב ואם רע׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mpenzi wangu, usifuate mfano mbaya, bali mfano mwema. kila atendaye mema ni wa mungu; lakini anayetenda mabaya hajapata kumwona mungu.
חביבי אל תרדף הרעה כי אם הטוב העשה טוב הוא מאלהים והעשה רע לא ראה את האלהים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. ikiwa wamemwita mkubwa wa jamaa beelzebuli, je hawatawaita watu wengine wa jamaa hiyo majina mabaya zaidi?
דיו לתלמיד להיות כרבו ולעבד להיות כאדניו אם לבעל הבית קראו בעל זבוב אף לאנשי ביתו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
sikiliza! sasa namtupa kitandani ambapo yeye pamoja na wote waliofanya uzinzi naye watapatwa na mateso makali. naam, nitafanya hivyo, kama wasipotubu matendo yao mabaya waliyotenda naye.
הנני מפיל אתה על מטה ואת המנאפים אתה בצרה גדולה אם לא ישובו ממעשיהם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
na kusingiziana; ni watu wa kuchukiza kwa mungu, wafidhuli, wenye kiburi na majivuno; hodari sana katika kutenda mabaya, na hawawatii wazazi wao;
הלכי רכיל ומלשינים שנאי אלהים וגאים וזדים והוללים וחשבי און ואינם שמעים בקול אבותם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
maana yeye ni mtumishi wa mungu anayefanya kazi kwa faida yako. lakini ukifanya mabaya, basi, huna budi kumwogopa, maana anao kweli uwezo wa kutoa adhabu. yeye ni mtumishi wa mungu na huitekeleza ghadhabu ya mungu kwao watendao maovu.
כי משמשת אלהים היא לטוב לך אך אם הרע תעשה ירא כי לא לחנם חגרת חרב היא כי משמשת אלהים היא נקמת בקצף מכל עשה הרע׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, nitakapokuja nitayafichua mambo yote anayofanya, maneno mabaya anayotutolea na uongo anaosema juu yetu. isitoshe, yeye hukataa kuwakaribisha hao ndugu walio safarini, na hata huwazuia watu wengine wanaotaka kuwakaribisha, na hujaribu kuwafukuzia nje ya kanisa.
על כן בבאי אזכיר את מעשיו אשר הוא עשה בספרו עלינו דברים רעים ולא דיו שלא יקבל את האחים כי גם ימנע את החפצים לקבל ויגרשם מתוך הקהלה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality: